Mbinu za Kumfanya Aamini Kama Kweli Unampenda kwa Vitendo

NENO ‘nakupenda’ ni dogo lakini lina maana kubwa sana kwa anayelitamka na anayetamkiwa. Kwa bahati mbaya sana, siku hizi neno hilo limekuwa kama mzaha, kila mtu analitamka, wakati mwingine hata mahali pasipostahili na wakati mwingine bila kumaanisha kile anachokisema.

Yawezekana hii ndiyo sababu mapenzi ya sasa yamekuwa na changamoto, mateso na maumivu sana kwa sababu mtu anamuaminisha mwenzake kwamba anampenda kwa kutamka ‘nakupenda’ nyingi wakati ndani ya moyo wake, hana mapenzi hata kidogo bali anasukumwa na tamaa za kimwili.

Swali la msingi ni je, utajuaje sasa kwamba anayekwambia ‘nakupenda’ anamaanisha kutoka ndani ya moyo wake na utamjuaje ‘anayekuzuga’ kwamba anakupenda? Swali hili pia lina upande wake wa pili, kwamba ukimfanyia nini mpenzi wako ataamini kwamba unampenda kwa dhati na si kwamba unaongozwa na tamaa zako za mwili?

Je, utamfanyia nini mpenzi uliyeishi naye miaka mingi aamini kwamba bado upendo wako kwake haujachuja na kwamba unampenda leo kuliko jana? Majibu ya maswali haya ni mepesi sana, twende pamoja kuchambua mbinu moja baada ya nyingine kama ifuatavyo:

  1. MSAIDIE BILA MASHARTI YOYOTE

Kihulka, mtu yeyote huwa anafarijika sana anapomuona mtu mwingine akimsaidia kufanya jambo fulani, hata kama ni dogo kiasi gani. Siyo lazima umsaidie kitu kikubwa, hapana! Kumsaidia tu unayempenda kubeba mkoba wake kuna maana kubwa sana katika mapenzi.

Hii inawahusu wote, wale ambao wapo kwenye hatua za mwanzo za safari yao ya mapenzi au walioishi miaka mingi pamoja! Ukiwauliza wanawake wengi, watakwambia hakuna kitu kinachowafurahisha kama kusaidiwa kazi ndogondogo na wanaume wanaowapenda. Kama ni mkeo hebu siku mfanyie sapraizi kwa kumuoshea vyombo au kuwaogesha watoto (kama mnao) au mfulie nguo zake.

Narudia kusisitiza kwamba unapomsaidia, unamuweka karibu kihisia na hata bila kumtamkia ‘I Love You’ nyingi ataelewa kwamba unampenda kwa dhati kutoka ndani ya moyo wake.

  1. MPE KIPAUMBELE MNAPOKUWA PAMOJA

Ukimpenda mtu kwa dhati, hata mnapokuwa kwenye mkusanyiko wa watu wengi, akili yako yote itakuwa kwake, utataka kila anachokiongea ukisikie na umjibu kwa haraka, utapenda akicheka na wewe ucheke, akiumizwa na kitu uwepo karibu yake na hisia nyingine za aina hiyo.

Mkiwa wawili utapenda muda wote umtazame, mfurahi pamoja na ukaribu wenu usiingiliwe na chochote, huo ndiyo upendo wa dhati unavyopaswa kuwa. Cha ajabu siku hizi mambo ya teknolojia yanawafanya wengi wawe washamba wa mapenzi.

Umetoka out na mpenzi wako lakini cha ajabu, muda wote upo bize na simu, mara WhatsApp, mara Instagram au Facebook! Inawezekana vipi ukawa makini kumsikiliza anachokizungumza na muda huohuo ukawa unaendelea kuchati.

Unapochati mbele yake ni kwamba umeona simu ni ya muhimu kuliko yeye, sasa ataamini vipi kama unampenda wakati unashindwa kumpa kipaumbele hata katika kitu kidogo kama hicho?

Wanandoa wengine unakuta muda pekee ambao wanakutana pamoja, ni jioni baada ya shughuli za kutwa nzima kuisha lakini cha ajabu sasa, jioni ikifika wakikutana, baba yupo bize na simu mama yupo bize na tamthiliya, au baba yupo bize kutazama mpira kwenye runinga mama yupo bize na simu!

Kwa namna hiyo unafikiri hata ukimtamkia ‘nakupenda’ elfu kumi kwa siku atakuamini? Hakuna mapenzi hapo na hata ukisema nakupenda, ni maneno tu ya kawaida ambayo yanatoka mdomoni na siyo moyoni.

  1. WAONESHE WATU WENGINE KWAMBA UNAMPENDA

Watu wengi huwa wagumu sana kuonesha hadharani kwamba wanampenda mtu fulani. Yaani kama ni mwanaume, akiwa na mpenzi wake mbele za wenzake, hakuna chochote anachoweza kukifanya mpaka kila mtu akajua kwamba huyo aliyenaye, siyo dada yake wala ndugu yake, bali mpenzi wake.

Itaendelea wiki ijayo.


Football news:

<!DOCTYPE html>
Kane on Tuchel: A wonderful man, full of ideas. Thomas in person says what he thinks
Zarema about Kuziaev's 350,000 euros a year in Le Havre: Translate it into rubles - it's not that little. It is commendable that he left
Aleksandr Mostovoy on Wendel: Two months of walking around in the middle of nowhere and then coming back and dragging the team - that's top level
Sheffield United have bought Euro U21 champion Archer from Aston Villa for £18.5million
Alexander Medvedev on SKA: Without Gazprom, there would be no Zenit titles. There is a winning wave in the city. The next victory in the Gagarin Cup will be in the spring
Smolnikov ended his career at the age of 35. He became the Russian champion three times with Zenit

17:45 Chino ataweza kuleta ushindani kwenye lebo za muziki zilizopo??
17:43 Chino atangaza kufunngua lebo na kusaini wasanii, kuingiza kwenye upinzani wa lebo Tanzania
17:43 Chino atangaza kufunngua lebo na kusaini wasanii
15:53 Hii Ndiyo Mikataba 8 ya Ushirikiano Iliyosainiwa Kati ya Tanzania na Zambia
15:49 Taasisi ya Lalji Foundation Yaendesha Kambi ya Macho, 100 Wafanyiwa Upasuaji
15:20 Rais wa Zambia Ashukuru Rais Samia Kuipa nchi hiyo hekta 20 za ardhi
15:20 Rais Samia Awapa Hekta 20 Zambia Kujenga Bandari, Atua Ikulu ya Lusaka (Video+Picha)
14:28 Sloti ya Book of Egypt Chimbo la Utajiri Meridianbet
10:15 Waziri Mavunde: Tanzania Iko Tayari Kushiriki Uchumi wa Madini Ya Bahari
10:14 Wateja wa Gas Fasta Sasa Kuagiza Gesi Kupitia Aplikesheni ya M-Pesa
8:12 Fahamu namna msikiti wa Al-Aqsa ulivyochochea mzozo wa Israel na Palestina
11:03 ACT Wazalendo wamteua Dk. Suleiman kugombea Uwakilishi Jimbo la Mtambwe
9:19 Bajeti Ya Serikali Ya Marekani Chupuchupu Kukwama – Yapata Idhini Ya Matumizi Ya Wiki Sita Tu
9:16 Kuna Maisha Baada Ya Kutendwa Soma Hapa Ujinasue!
8:59 Mwanamume Afariki Baada ya Nyangumi Kugonga Boti
8:52 Chama, Luis Wapewa Zigo Zito Kuiondosha Power Dyhamos
8:41 Rais Samia akitangaza Chuo cha Diplomasia sasa kuitwa Dk. Salim Ahmed Salim
8:33 NIT kuanza kufundisha walimu wa ufundi
8:22 Papa Francis awapandisha vyeo makasisi 21 kuwa makadinali
8:14 Breaking: Moto Mkubwa Unateketeza Majengo Na Maduka Kariakoo, Dar – Video
4:31 Mama Wa Mapacha Aliyekuwa Amezuiwa Hosptalini Arusha Alipiwa Bili – Video
21:04 Wananchi Geita wachangamkia uchunguzi wa saratani bure, wanawake wapewa neno
15:24 Shirika la Ndege la Rwandair Lamwaga Zawadi Kwa Wateja, Wadau Wa Tanzania
9:22 #Exclusive: Neema Chande Afichua Alivyotoka Kimapenzi Na Romy Jons Na Kuzaa – Video
8:00 Anayedaiwa Kumuua Tupac Mwaka 1996 Akamatwa na Polisi
7:14 Basi la magereza lagonga treni, mmoja afariki, 10 wajeruhiwa
7:08 Wema Sepetu ajutia kilichotokea katika sherehe ya birthday yake “Sitafanya tena birthday”
6:35 Inasikitisha! Mume Alinikimbia Nikiwa Na Mimba, Nikaanza Penzi Na Mume Wa Mtu – Video
5:20 Rais Samia Ateua na Kuridhia uteuzi wa Viongozi Mbalimbali
5:03 Ukiingia Kwenye Ndoa na Mwenye Sifa Hizi, Huwezi Kujuta!
4:57 Basi la Magereza Lagonga Treni Yenye Abiria 650 Dar
4:57 Basi la Magereza Lagonga Treni Ya Abiria Ukonga Dar, Yasababisha Kifo cha Mtu Mmoja
3:18 “Utalindwa Usiogope Kutoa Ushahidi” – Waziri Pindi Chana Akizindua Miongozo…
2:55 Putin na Rais wa Sudan Kusini Wafanya Mazungumzo Mjini Moscow
2:00 Mchungaji Mwakipesile Ahukumiwa Kifungo Cha Miaka Mitatu Jela
1:05 Manchester United Yatangaza Yamrejesha Antony Kuendelea na Mazoezi
22:13 NIT yatakiwa kukamilisha miradi yake kwa muda uliopangwa
21:10 Magari taasisi za umma, binafsi zatakiwa kufanyiwa ukaguzi NIT
20:15 Tanesco Ubungo yatakiwa kushughulia tatizo la kukosekana kwa umeme
20:06 Naibu Waziri aipa Tanesco Ubungo saa sita kushughulia tatizo la kukosekana kwa umeme
17:37 Taja tofauti kati ya Ku-run game ya muziki na ku-hit kwenye muziki
17:27 EL Mando ataja orodha ya wasanii watano waliowahi kui-run game ya Bongo Fleva, amtoa Alikiba
17:20 Orodha ya wasanii watano waliowahi kui-run/kuiendesha game ya muziki wa Bongo Fleva
15:53 Dianne Feinstein, Seneta aliyetumikia kwa muda mrefu afariki akiwa na miaka 90
14:11 Mwalimu Mtanzania aingia top 50 ya Global Teacher Prize 2023
13:19 Naibu Waziri wa Nishati Aipa Saa Mbili Tanesco Kurudisha Umeme
12:49 Rais wa Rwanda Amteua Jenerali Mshukiwa kuwa Waziri
12:29 Viwanda Zaidi ya 200 Kuonyesha Bidhaa Maonyesho ya TIMEXPO Dar
11:26 Mapya Yaibuka Vijana Waliopotea Kariakoo Siku 373 -Wazazi Wao Wafunguka Haya – “Rais Samia Tusaidie”- Video
10:53 Mchengerwa Awatangazia Kiama Wakurugenzi Watakaoshindwa Kutekeleza Mradi wa TACTIC
9:39 Simba Watamba Kufuzu Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos
9:26 Lulu Diva Amkataa Rich Mavoko – Afichua Kwa Nini Anachagua Andazi – “Ex Harudiwi” – Video
9:11 Kocha wa Yanga Atamba Kumaliza Kazi dhidi ya Al Merrikh ya Sudan
9:03 Sakata La Kupotea Kwa Warda – Mama Mkubwa Aangua Kilio Aomba Rais Samia Aingilie Kati – Video
8:19 Nina 5% za kupanda Ulingoni, epuka matapeli- Mwakinyo
3:30 Watu 6 wauwawa, 10 wajeruhiwa katika shambulizi Somalia
2:21 Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Ijumaa, Septemba 29, 2023
16:51 Nape; Tutumie mitandao ya kijamii kujiingizia kipato si kufanya umbea
15:44 Nyumbu SC yatoka sare na Polisi Tanzania mchezo wa kirafiki
8:25 Uganda Yawasimamisha Kazi Wafanyikazi 11 juu ya Vibali Bandia vya Sokwe
6:37 Madaktari wazawa waendelea kupandikizwa figo Muhimbili
6:12 Carabao Cup: Man United Yapangwa Kukipiga Na Newcastle United
6:08 Dk. Mpango kukutana na mashirika yasiyo ya Kiserikali takribani 9,000
5:50 Mkuu wa MINUSCA atembelea kikosi cha walina amani wa Tanzania Afrika ya Kati
5:19 Dkt. Biteko: Tutaleta Umeme Vijijini Hata Kama Wananchi Hawana Nyumba Nzuri
5:04 Yanga Yashtukia Mtego Wapinzani Wao Al Merrikh Ligi ya Mabingwa Afrika
5:02 Mbinu 5 za Kumbaini Mpenzi Mchepukaji
4:46 Simba Njia Nyeupe CAF Wachezaji Watatu wa Power Dynamos Kuukosa Mchezo
4:37 Jinsi ya Kumtambua Mwanaume wa Kukuoa!
4:22 Mwakinyo Abadilishiwa Mpinzani Kuzichapa Dhidi ya Mnamibia
4:15 Mkurugenzi Tanesco: Upungufu Wa Umeme Utamalizika Machi 2024 – Video
4:08 Dereva Bajaji Apotea Vingunguti Hofu Yaikumba Familia | Katambuga – Video
1:58 Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Alhamisi, Septemba 28, 2023
19:10 Wasanii waliopo Kings Music, Konde Gang, Next level hawatengenezi hela kupia muziki wao
19:06 Harmonize, Alikiba, Rayvanny na Nandy hawajafanya uwekezaji wa kutosha kwenye lebo zao
18:53 Lebo nyingi Tanzania zimewatelekeza wasanii wao
14:24 Muimbaji E Major aachia Jara (Video)
13:22 Mwakinyo abadilishiwa mpinzani wa pambano lake
11:00 Kocha Roberto Oliveira ‘Robertinho’ Aipeleka Simba Mafichoni
10:44 Tamwa: Rushwa ya ngono kikwazo wanahabari wanawake kushika nafasi za juu za uongozi
8:41 Moto Iraq: Maharusi Wote Wawili Wapoteza Maisha, Afisa wa afya Afunguka
8:32 Mbinu za Kumfanya Aamini Kama Kweli Unampenda kwa Vitendo
7:30 Baleke Anautaka Ufungaji Bora Ligi Kuu Bara msimu huu
7:07 #Exclusive: Aunty Ezekiel – “Wolper Ananipendana Sana – Siamini Mitandao Mpaka Nione Kwa Macho”- Video
5:52 Gamondi Aandaa Silaha mpya Yanga dhidi ya Al Merrikh Azam Complex, Dar
5:38 IRAQ: Moto Waua Watu 100 Kwenye Harusi, Bibi Harusi na Bwana Harusi Wadaiwa Kufariki – Video
5:19 Trump adaiwa kufanya udanganyifu wa kibiashara kwa miaka mingi
2:30 Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumanne, Septemba 27, 2023
1:20 Rais Samia: Tuna ‘Crisis’ Ya Umeme, Tunafanya Ukarabati Wa Mashine – Video
23:37 Rais Samia agundua Maharage ana biashara TTCL
23:34 Mkurugenzi Tanesco apewa miezi sita katikakati ya umeme
23:30 Tanzania, Marekani kushirikiana kuboresha mifumo ya usimamizi masuala ya afya
15:44 VIDEO: Infinix Zero 30 yatua TZ, Director Kenny anogewa
14:21 Simba Yatamba Kuwashangaza Power Dynamos Kutinga Hatua ya Makundi
12:00 Marekani imemkatalia waziri wa mambo ya nje wa Iran, kutembelea Washington
11:49 Staa wa TikTok akamatwa na Polisi kwa kudangaya Umma mlevamu
10:16 Tanzania nashika nafasi ya 9 kwenye mataifa yasiyokuwa na furaha duniani
9:52 Man United: Sancho Apigwa Marufuku Kutumia Mgahawa Wa Kikosi Cha Kwanza
9:40 Mjukuu wa Nelson Mandela, Zoleka Afariki Familia yake Yatangaza
9:13 Winga ashusha presha Simba Kurejea Uwanjani Baada ya Wiki Moja