Simba Watamba Kufuzu Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos

Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba.

UONGOZI wa Simba, umeweka wazi kuwa, mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos, ni muhimu kufanikisha malengo ya kutinga hatua makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Katika mchezo uliopita ugeni, ubao ulisoma Power Dynamos 2-2 Simba, hivyo Jumapili hii wakiwa wanarudiana, Simba inahitaji ushindi wa aina yoyote, au sare ya bao 1-1 kushuka chini ili ifuzu.

Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, ameweka wazi kuwa watatumia Uwanja wa Azam Complex kukamilisha kazi ya kufuzu hatua ya makundi.

“Tunawakabili Power Dynamos Uwanja wa Azam Complex ambao tutautumia kufuzu hatua ya makundi, mechi itakuwa saa 10 jioni kwa kuwa michezo mingi tulicheza kwenye muda huo.

“Kikosi leo (jana) kimefanya mazoezi Uwanja wa Azam Complex kwa ajili ya kuzoea uwanja. Tangu tumeanza msimu huu hatujawahi kutumia ule uwanja. Wapo wachezaji wengi wanaoujua uwanja ule na wengine hawaujui.

“Viingilio ni rafiki pia kwenye mchezo kama huu, msimu uliopita tuliingiza watu 47,000, lakini sasa tutakuwa na mashabiki 7,000. Mashabiki wanaotaka kuwepo uwanjani wanunue tiketi mapema. Tiketi za mzunguko ni Sh 10,000, VIP B Sh 30,000 na Platinum Sh 150,000.

“Wachezaji watatu watakosekana kwenye huo mchezo ambao ni Aishi Manula, Henock Inonga na Aubin Kramo.

“Power Dynamos wanatarajiwa kuwasili nchini kesho (leo) Alhamisi majira ya saa 12 jioni na Shirika la Ndege la ATCL. Waamuzi wanatarajia kufika Tanzania tarehe 30 Septemba,” alisema Ally.

MWANDISHI WETU – SPOTI XTRA


Football news:

<!DOCTYPE html>
Kane on Tuchel: A wonderful man, full of ideas. Thomas in person says what he thinks
Zarema about Kuziaev's 350,000 euros a year in Le Havre: Translate it into rubles - it's not that little. It is commendable that he left
Aleksandr Mostovoy on Wendel: Two months of walking around in the middle of nowhere and then coming back and dragging the team - that's top level
Sheffield United have bought Euro U21 champion Archer from Aston Villa for £18.5million
Alexander Medvedev on SKA: Without Gazprom, there would be no Zenit titles. There is a winning wave in the city. The next victory in the Gagarin Cup will be in the spring
Smolnikov ended his career at the age of 35. He became the Russian champion three times with Zenit

17:45 Chino ataweza kuleta ushindani kwenye lebo za muziki zilizopo??
17:43 Chino atangaza kufunngua lebo na kusaini wasanii, kuingiza kwenye upinzani wa lebo Tanzania
17:43 Chino atangaza kufunngua lebo na kusaini wasanii
15:53 Hii Ndiyo Mikataba 8 ya Ushirikiano Iliyosainiwa Kati ya Tanzania na Zambia
15:49 Taasisi ya Lalji Foundation Yaendesha Kambi ya Macho, 100 Wafanyiwa Upasuaji
15:20 Rais wa Zambia Ashukuru Rais Samia Kuipa nchi hiyo hekta 20 za ardhi
15:20 Rais Samia Awapa Hekta 20 Zambia Kujenga Bandari, Atua Ikulu ya Lusaka (Video+Picha)
14:28 Sloti ya Book of Egypt Chimbo la Utajiri Meridianbet
10:15 Waziri Mavunde: Tanzania Iko Tayari Kushiriki Uchumi wa Madini Ya Bahari
10:14 Wateja wa Gas Fasta Sasa Kuagiza Gesi Kupitia Aplikesheni ya M-Pesa
8:12 Fahamu namna msikiti wa Al-Aqsa ulivyochochea mzozo wa Israel na Palestina
11:03 ACT Wazalendo wamteua Dk. Suleiman kugombea Uwakilishi Jimbo la Mtambwe
9:19 Bajeti Ya Serikali Ya Marekani Chupuchupu Kukwama – Yapata Idhini Ya Matumizi Ya Wiki Sita Tu
9:16 Kuna Maisha Baada Ya Kutendwa Soma Hapa Ujinasue!
8:59 Mwanamume Afariki Baada ya Nyangumi Kugonga Boti
8:52 Chama, Luis Wapewa Zigo Zito Kuiondosha Power Dyhamos
8:41 Rais Samia akitangaza Chuo cha Diplomasia sasa kuitwa Dk. Salim Ahmed Salim
8:33 NIT kuanza kufundisha walimu wa ufundi
8:22 Papa Francis awapandisha vyeo makasisi 21 kuwa makadinali
8:14 Breaking: Moto Mkubwa Unateketeza Majengo Na Maduka Kariakoo, Dar – Video
4:31 Mama Wa Mapacha Aliyekuwa Amezuiwa Hosptalini Arusha Alipiwa Bili – Video
21:04 Wananchi Geita wachangamkia uchunguzi wa saratani bure, wanawake wapewa neno
15:24 Shirika la Ndege la Rwandair Lamwaga Zawadi Kwa Wateja, Wadau Wa Tanzania
9:22 #Exclusive: Neema Chande Afichua Alivyotoka Kimapenzi Na Romy Jons Na Kuzaa – Video
8:00 Anayedaiwa Kumuua Tupac Mwaka 1996 Akamatwa na Polisi
7:14 Basi la magereza lagonga treni, mmoja afariki, 10 wajeruhiwa
7:08 Wema Sepetu ajutia kilichotokea katika sherehe ya birthday yake “Sitafanya tena birthday”
6:35 Inasikitisha! Mume Alinikimbia Nikiwa Na Mimba, Nikaanza Penzi Na Mume Wa Mtu – Video
5:20 Rais Samia Ateua na Kuridhia uteuzi wa Viongozi Mbalimbali
5:03 Ukiingia Kwenye Ndoa na Mwenye Sifa Hizi, Huwezi Kujuta!
4:57 Basi la Magereza Lagonga Treni Yenye Abiria 650 Dar
4:57 Basi la Magereza Lagonga Treni Ya Abiria Ukonga Dar, Yasababisha Kifo cha Mtu Mmoja
3:18 “Utalindwa Usiogope Kutoa Ushahidi” – Waziri Pindi Chana Akizindua Miongozo…
2:55 Putin na Rais wa Sudan Kusini Wafanya Mazungumzo Mjini Moscow
2:00 Mchungaji Mwakipesile Ahukumiwa Kifungo Cha Miaka Mitatu Jela
1:05 Manchester United Yatangaza Yamrejesha Antony Kuendelea na Mazoezi
22:13 NIT yatakiwa kukamilisha miradi yake kwa muda uliopangwa
21:10 Magari taasisi za umma, binafsi zatakiwa kufanyiwa ukaguzi NIT
20:15 Tanesco Ubungo yatakiwa kushughulia tatizo la kukosekana kwa umeme
20:06 Naibu Waziri aipa Tanesco Ubungo saa sita kushughulia tatizo la kukosekana kwa umeme
17:37 Taja tofauti kati ya Ku-run game ya muziki na ku-hit kwenye muziki
17:27 EL Mando ataja orodha ya wasanii watano waliowahi kui-run game ya Bongo Fleva, amtoa Alikiba
17:20 Orodha ya wasanii watano waliowahi kui-run/kuiendesha game ya muziki wa Bongo Fleva
15:53 Dianne Feinstein, Seneta aliyetumikia kwa muda mrefu afariki akiwa na miaka 90
14:11 Mwalimu Mtanzania aingia top 50 ya Global Teacher Prize 2023
13:19 Naibu Waziri wa Nishati Aipa Saa Mbili Tanesco Kurudisha Umeme
12:49 Rais wa Rwanda Amteua Jenerali Mshukiwa kuwa Waziri
12:29 Viwanda Zaidi ya 200 Kuonyesha Bidhaa Maonyesho ya TIMEXPO Dar
11:26 Mapya Yaibuka Vijana Waliopotea Kariakoo Siku 373 -Wazazi Wao Wafunguka Haya – “Rais Samia Tusaidie”- Video
10:53 Mchengerwa Awatangazia Kiama Wakurugenzi Watakaoshindwa Kutekeleza Mradi wa TACTIC
9:39 Simba Watamba Kufuzu Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos
9:26 Lulu Diva Amkataa Rich Mavoko – Afichua Kwa Nini Anachagua Andazi – “Ex Harudiwi” – Video
9:11 Kocha wa Yanga Atamba Kumaliza Kazi dhidi ya Al Merrikh ya Sudan
9:03 Sakata La Kupotea Kwa Warda – Mama Mkubwa Aangua Kilio Aomba Rais Samia Aingilie Kati – Video
8:19 Nina 5% za kupanda Ulingoni, epuka matapeli- Mwakinyo
3:30 Watu 6 wauwawa, 10 wajeruhiwa katika shambulizi Somalia
2:21 Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Ijumaa, Septemba 29, 2023
16:51 Nape; Tutumie mitandao ya kijamii kujiingizia kipato si kufanya umbea
15:44 Nyumbu SC yatoka sare na Polisi Tanzania mchezo wa kirafiki
8:25 Uganda Yawasimamisha Kazi Wafanyikazi 11 juu ya Vibali Bandia vya Sokwe
6:37 Madaktari wazawa waendelea kupandikizwa figo Muhimbili
6:12 Carabao Cup: Man United Yapangwa Kukipiga Na Newcastle United
6:08 Dk. Mpango kukutana na mashirika yasiyo ya Kiserikali takribani 9,000
5:50 Mkuu wa MINUSCA atembelea kikosi cha walina amani wa Tanzania Afrika ya Kati
5:19 Dkt. Biteko: Tutaleta Umeme Vijijini Hata Kama Wananchi Hawana Nyumba Nzuri
5:04 Yanga Yashtukia Mtego Wapinzani Wao Al Merrikh Ligi ya Mabingwa Afrika
5:02 Mbinu 5 za Kumbaini Mpenzi Mchepukaji
4:46 Simba Njia Nyeupe CAF Wachezaji Watatu wa Power Dynamos Kuukosa Mchezo
4:37 Jinsi ya Kumtambua Mwanaume wa Kukuoa!
4:22 Mwakinyo Abadilishiwa Mpinzani Kuzichapa Dhidi ya Mnamibia
4:15 Mkurugenzi Tanesco: Upungufu Wa Umeme Utamalizika Machi 2024 – Video
4:08 Dereva Bajaji Apotea Vingunguti Hofu Yaikumba Familia | Katambuga – Video
1:58 Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Alhamisi, Septemba 28, 2023
19:10 Wasanii waliopo Kings Music, Konde Gang, Next level hawatengenezi hela kupia muziki wao
19:06 Harmonize, Alikiba, Rayvanny na Nandy hawajafanya uwekezaji wa kutosha kwenye lebo zao
18:53 Lebo nyingi Tanzania zimewatelekeza wasanii wao
14:24 Muimbaji E Major aachia Jara (Video)
13:22 Mwakinyo abadilishiwa mpinzani wa pambano lake
11:00 Kocha Roberto Oliveira ‘Robertinho’ Aipeleka Simba Mafichoni
10:44 Tamwa: Rushwa ya ngono kikwazo wanahabari wanawake kushika nafasi za juu za uongozi
8:41 Moto Iraq: Maharusi Wote Wawili Wapoteza Maisha, Afisa wa afya Afunguka
8:32 Mbinu za Kumfanya Aamini Kama Kweli Unampenda kwa Vitendo
7:30 Baleke Anautaka Ufungaji Bora Ligi Kuu Bara msimu huu
7:07 #Exclusive: Aunty Ezekiel – “Wolper Ananipendana Sana – Siamini Mitandao Mpaka Nione Kwa Macho”- Video
5:52 Gamondi Aandaa Silaha mpya Yanga dhidi ya Al Merrikh Azam Complex, Dar
5:38 IRAQ: Moto Waua Watu 100 Kwenye Harusi, Bibi Harusi na Bwana Harusi Wadaiwa Kufariki – Video
5:19 Trump adaiwa kufanya udanganyifu wa kibiashara kwa miaka mingi
2:30 Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumanne, Septemba 27, 2023
1:20 Rais Samia: Tuna ‘Crisis’ Ya Umeme, Tunafanya Ukarabati Wa Mashine – Video
23:37 Rais Samia agundua Maharage ana biashara TTCL
23:34 Mkurugenzi Tanesco apewa miezi sita katikakati ya umeme
23:30 Tanzania, Marekani kushirikiana kuboresha mifumo ya usimamizi masuala ya afya
15:44 VIDEO: Infinix Zero 30 yatua TZ, Director Kenny anogewa
14:21 Simba Yatamba Kuwashangaza Power Dynamos Kutinga Hatua ya Makundi
12:00 Marekani imemkatalia waziri wa mambo ya nje wa Iran, kutembelea Washington
11:49 Staa wa TikTok akamatwa na Polisi kwa kudangaya Umma mlevamu
10:16 Tanzania nashika nafasi ya 9 kwenye mataifa yasiyokuwa na furaha duniani
9:52 Man United: Sancho Apigwa Marufuku Kutumia Mgahawa Wa Kikosi Cha Kwanza
9:40 Mjukuu wa Nelson Mandela, Zoleka Afariki Familia yake Yatangaza
9:13 Winga ashusha presha Simba Kurejea Uwanjani Baada ya Wiki Moja