Wananchi Geita wachangamkia uchunguzi wa saratani bure, wanawake wapewa neno

Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.

Wananchi waliotembelea Maonesho ya sita ya teknolojia ya Madini Geita jana wakisubiri katika banda la Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Geita ili kujiandikisha na kupata huduma za uchunguzi wa saratani na elimu kutoka kwa wataalam wa tiba. Huduma hiyo inayotolewa bila malipo na Hospitali ya Rufaa ya Geita kwa kushirikiana na Kampuni ya Geita Gold Mining Company Limited (GGML), inajumuisha uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi, matiti na tezi dume.

NA MWANDISHI WETU

MAONESHO ya Sita ya Teknolojia ya Madini Geita yameendelea kuwanufaisha wakazi wa Geita na viunga vyake baada ya wananchi na wafanyakazi kutoka taasisi mbalimbali kujitokeza kupata elimu pamoja na kufanyiwa uchunguzi saratani.

Huduma hiyo inayoendelea kutolewa bure na Hospitali ya Rufaa ya mkoa Geita kwa ushirikiano na Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), inahusisha upimaji wa satarani ya shingo ya kizazi, matiti na tezi dume.

Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni GGML, wakifanyiwa uchunguzi saratani katika banda la Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Geita.

Hatua hiyo imekuja wakati dunia ikielekea katika mwezi Oktoba ambao ni wa uelimishaji kuhusu saratani ya matiti.

Wakizungumza na mwandishi wetu katika banda linalotoa huduma hizo kwenye Viwanja vya Bombambili -EPZ Mjini Geita, mmoja wa wananchi hao, Neema Mgase ambaye ni mkazi wa Nyamalembo mkoani Geita mbali na kuelezea huduma nzuri alizozipata alishauri wakazi wa mkoa huo wafike kupata huduma hizo hasa ikizingatiwa ni bure.

“Wanawake tunapitia changamoto mbalimbali ikiwamo uzazi na nyingine ndio maana nikaona nije kupata uchunguzi.

“Wito kwa kampuni nyingine ni kusaidia jamii ya watanzania ambao wengi tupo katika hali duni kutokana na umaskini kuwekeza kwenye huduma kama hizi ili kusaidia kuboresha afya kwa jamii,” alisema.

Naye Mzee Masele Athuma ambaye ni mkazi wa Nyantorotoro A, alisema amehamasika kufanya uchunguzi wa saratani ya tezi dume hasa ikizingatiwa yupo kwenye umri ambao anaweza kunyemelewa na magonjwa mbalimbali ikiwamo saratani.

“Wito wangu kwa wakazi wa Geita wajitokeze kwa wingi kujua afya yao kwani ndio afya ndio maisha yako. Kwa kweli GGML tunaishukuru imetusaidia wana Geita, mfano kwa maonesho haya ndio mdhamini mkuu hivyo natoa wito kwa kampuni nyingine ziungane na GGML kwa maendeleo ya wananchi wa Geita.

“Nikiangalia kule Nyankumbu tumejengewa shule bora ya sekondari wasichana na wanasoma bure kwa kweli GGML imetusaidia sana,” alisema.

Hoja ya inaungwa mkono na Paschal Shagembe ambaye pia ni mkazi wa Nyantorotoro ambaye kwa upande wake anasema kilichonisukuma kupima afya ni kwamba sasa magonjwa ni mengi kwani anaweza kuwa ameathiriwa na saratani lakini hajui.

Kwa upande wao wafanyakazi wanawake wa kampuni ya GGML nao walifanyiwa uchunguzi wa saratani akiwamo, Muuguzi katika hospitali ya GGML, Chitegetse Rushatsi ambaye alisema ameamua kwenda kupata elimu na kufanya uchunguzi wa saratani kwa sababu anatamani kutembea akiwa anajiamini.

“Kwa sababu saratani haioneshi dalili, kitakachokufanya ujue hauna saratani ni kupima tu, na sio njia nyingine yoyote ndio maana nimeshawishika kwenda kupima nijiamini,” alisema na kuongeza;

“Wito wangu kwa wanawake wapime wajijue afya kwa sababu huwezi kujijua una saratani kwa kutembea tu au kumuangalia mtu. Isipokuwa ni pale utakapoanza kuonesha dalili na ukishaanza kuonesha dalili hapo saratani imefikia hatua ambazo ni ngumu kutibiwa,” alisema.

Naye Happy Ijumba ambaye pia ni mfanyakazi wa GGML alisema alipoisikia fursa hiyo kwamba kuna huduma zinatolewa alikuwa mstari wa mbele kutamani kuja kufanya uchunguzi wa kina kuhusu afya yake.

“Kwa sababu saratani si ugonjwa wa kawaida, na kwa sisi wanawake mpaka upate dalili kuona viashiria ujue tayari umeshakuathiri, ndio maana nikaona umuhimu kuja kupata vipimo kujua kama nimepata hivyo virusi au lah,” alisema na kuongeza;

“Nawasihi wanawake wenzangu waje kupima afya zao, wapime saratani ya shingo ya kizazi na matiti kwani inakuwezesha kujiamini na vipimo ni kila baada ya miaka mitatu,” alisema.

Akizungumzia utoaji wa huduma hizo, Mratibu wa huduma za Tiba katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa Geita, Dk. Pasclates Ijumba alisema wameamua kutoa huduma hizo ili kudhibiti madhara ya saratani hususani kwa wananchi ambao wamekuwa waoga kufanyiwa uchunguzi kutokana na na dhana potofu iliyojengeka ndani ya jamii.

Alitoa mfano kuhusu chanjo ya saratani ya shingo ya kizazi ambayo hutolewa kwa mabinti wadogo, baadhi ya jamii huwazuia watoto wao kupatiwa chanjo hiyo kutokana na ukosefu sahihi wa elimu kuhusu chanjo hiyo.


Football news:

<!DOCTYPE html>
Kane on Tuchel: A wonderful man, full of ideas. Thomas in person says what he thinks
Zarema about Kuziaev's 350,000 euros a year in Le Havre: Translate it into rubles - it's not that little. It is commendable that he left
Aleksandr Mostovoy on Wendel: Two months of walking around in the middle of nowhere and then coming back and dragging the team - that's top level
Sheffield United have bought Euro U21 champion Archer from Aston Villa for £18.5million
Alexander Medvedev on SKA: Without Gazprom, there would be no Zenit titles. There is a winning wave in the city. The next victory in the Gagarin Cup will be in the spring
Smolnikov ended his career at the age of 35. He became the Russian champion three times with Zenit

17:45 Chino ataweza kuleta ushindani kwenye lebo za muziki zilizopo??
17:43 Chino atangaza kufunngua lebo na kusaini wasanii, kuingiza kwenye upinzani wa lebo Tanzania
17:43 Chino atangaza kufunngua lebo na kusaini wasanii
15:53 Hii Ndiyo Mikataba 8 ya Ushirikiano Iliyosainiwa Kati ya Tanzania na Zambia
15:49 Taasisi ya Lalji Foundation Yaendesha Kambi ya Macho, 100 Wafanyiwa Upasuaji
15:20 Rais wa Zambia Ashukuru Rais Samia Kuipa nchi hiyo hekta 20 za ardhi
15:20 Rais Samia Awapa Hekta 20 Zambia Kujenga Bandari, Atua Ikulu ya Lusaka (Video+Picha)
14:28 Sloti ya Book of Egypt Chimbo la Utajiri Meridianbet
10:15 Waziri Mavunde: Tanzania Iko Tayari Kushiriki Uchumi wa Madini Ya Bahari
10:14 Wateja wa Gas Fasta Sasa Kuagiza Gesi Kupitia Aplikesheni ya M-Pesa
8:12 Fahamu namna msikiti wa Al-Aqsa ulivyochochea mzozo wa Israel na Palestina
11:03 ACT Wazalendo wamteua Dk. Suleiman kugombea Uwakilishi Jimbo la Mtambwe
9:19 Bajeti Ya Serikali Ya Marekani Chupuchupu Kukwama – Yapata Idhini Ya Matumizi Ya Wiki Sita Tu
9:16 Kuna Maisha Baada Ya Kutendwa Soma Hapa Ujinasue!
8:59 Mwanamume Afariki Baada ya Nyangumi Kugonga Boti
8:52 Chama, Luis Wapewa Zigo Zito Kuiondosha Power Dyhamos
8:41 Rais Samia akitangaza Chuo cha Diplomasia sasa kuitwa Dk. Salim Ahmed Salim
8:33 NIT kuanza kufundisha walimu wa ufundi
8:22 Papa Francis awapandisha vyeo makasisi 21 kuwa makadinali
8:14 Breaking: Moto Mkubwa Unateketeza Majengo Na Maduka Kariakoo, Dar – Video
4:31 Mama Wa Mapacha Aliyekuwa Amezuiwa Hosptalini Arusha Alipiwa Bili – Video
21:04 Wananchi Geita wachangamkia uchunguzi wa saratani bure, wanawake wapewa neno
15:24 Shirika la Ndege la Rwandair Lamwaga Zawadi Kwa Wateja, Wadau Wa Tanzania
9:22 #Exclusive: Neema Chande Afichua Alivyotoka Kimapenzi Na Romy Jons Na Kuzaa – Video
8:00 Anayedaiwa Kumuua Tupac Mwaka 1996 Akamatwa na Polisi
7:14 Basi la magereza lagonga treni, mmoja afariki, 10 wajeruhiwa
7:08 Wema Sepetu ajutia kilichotokea katika sherehe ya birthday yake “Sitafanya tena birthday”
6:35 Inasikitisha! Mume Alinikimbia Nikiwa Na Mimba, Nikaanza Penzi Na Mume Wa Mtu – Video
5:20 Rais Samia Ateua na Kuridhia uteuzi wa Viongozi Mbalimbali
5:03 Ukiingia Kwenye Ndoa na Mwenye Sifa Hizi, Huwezi Kujuta!
4:57 Basi la Magereza Lagonga Treni Yenye Abiria 650 Dar
4:57 Basi la Magereza Lagonga Treni Ya Abiria Ukonga Dar, Yasababisha Kifo cha Mtu Mmoja
3:18 “Utalindwa Usiogope Kutoa Ushahidi” – Waziri Pindi Chana Akizindua Miongozo…
2:55 Putin na Rais wa Sudan Kusini Wafanya Mazungumzo Mjini Moscow
2:00 Mchungaji Mwakipesile Ahukumiwa Kifungo Cha Miaka Mitatu Jela
1:05 Manchester United Yatangaza Yamrejesha Antony Kuendelea na Mazoezi
22:13 NIT yatakiwa kukamilisha miradi yake kwa muda uliopangwa
21:10 Magari taasisi za umma, binafsi zatakiwa kufanyiwa ukaguzi NIT
20:15 Tanesco Ubungo yatakiwa kushughulia tatizo la kukosekana kwa umeme
20:06 Naibu Waziri aipa Tanesco Ubungo saa sita kushughulia tatizo la kukosekana kwa umeme
17:37 Taja tofauti kati ya Ku-run game ya muziki na ku-hit kwenye muziki
17:27 EL Mando ataja orodha ya wasanii watano waliowahi kui-run game ya Bongo Fleva, amtoa Alikiba
17:20 Orodha ya wasanii watano waliowahi kui-run/kuiendesha game ya muziki wa Bongo Fleva
15:53 Dianne Feinstein, Seneta aliyetumikia kwa muda mrefu afariki akiwa na miaka 90
14:11 Mwalimu Mtanzania aingia top 50 ya Global Teacher Prize 2023
13:19 Naibu Waziri wa Nishati Aipa Saa Mbili Tanesco Kurudisha Umeme
12:49 Rais wa Rwanda Amteua Jenerali Mshukiwa kuwa Waziri
12:29 Viwanda Zaidi ya 200 Kuonyesha Bidhaa Maonyesho ya TIMEXPO Dar
11:26 Mapya Yaibuka Vijana Waliopotea Kariakoo Siku 373 -Wazazi Wao Wafunguka Haya – “Rais Samia Tusaidie”- Video
10:53 Mchengerwa Awatangazia Kiama Wakurugenzi Watakaoshindwa Kutekeleza Mradi wa TACTIC
9:39 Simba Watamba Kufuzu Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos
9:26 Lulu Diva Amkataa Rich Mavoko – Afichua Kwa Nini Anachagua Andazi – “Ex Harudiwi” – Video
9:11 Kocha wa Yanga Atamba Kumaliza Kazi dhidi ya Al Merrikh ya Sudan
9:03 Sakata La Kupotea Kwa Warda – Mama Mkubwa Aangua Kilio Aomba Rais Samia Aingilie Kati – Video
8:19 Nina 5% za kupanda Ulingoni, epuka matapeli- Mwakinyo
3:30 Watu 6 wauwawa, 10 wajeruhiwa katika shambulizi Somalia
2:21 Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Ijumaa, Septemba 29, 2023
16:51 Nape; Tutumie mitandao ya kijamii kujiingizia kipato si kufanya umbea
15:44 Nyumbu SC yatoka sare na Polisi Tanzania mchezo wa kirafiki
8:25 Uganda Yawasimamisha Kazi Wafanyikazi 11 juu ya Vibali Bandia vya Sokwe
6:37 Madaktari wazawa waendelea kupandikizwa figo Muhimbili
6:12 Carabao Cup: Man United Yapangwa Kukipiga Na Newcastle United
6:08 Dk. Mpango kukutana na mashirika yasiyo ya Kiserikali takribani 9,000
5:50 Mkuu wa MINUSCA atembelea kikosi cha walina amani wa Tanzania Afrika ya Kati
5:19 Dkt. Biteko: Tutaleta Umeme Vijijini Hata Kama Wananchi Hawana Nyumba Nzuri
5:04 Yanga Yashtukia Mtego Wapinzani Wao Al Merrikh Ligi ya Mabingwa Afrika
5:02 Mbinu 5 za Kumbaini Mpenzi Mchepukaji
4:46 Simba Njia Nyeupe CAF Wachezaji Watatu wa Power Dynamos Kuukosa Mchezo
4:37 Jinsi ya Kumtambua Mwanaume wa Kukuoa!
4:22 Mwakinyo Abadilishiwa Mpinzani Kuzichapa Dhidi ya Mnamibia
4:15 Mkurugenzi Tanesco: Upungufu Wa Umeme Utamalizika Machi 2024 – Video
4:08 Dereva Bajaji Apotea Vingunguti Hofu Yaikumba Familia | Katambuga – Video
1:58 Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Alhamisi, Septemba 28, 2023
19:10 Wasanii waliopo Kings Music, Konde Gang, Next level hawatengenezi hela kupia muziki wao
19:06 Harmonize, Alikiba, Rayvanny na Nandy hawajafanya uwekezaji wa kutosha kwenye lebo zao
18:53 Lebo nyingi Tanzania zimewatelekeza wasanii wao
14:24 Muimbaji E Major aachia Jara (Video)
13:22 Mwakinyo abadilishiwa mpinzani wa pambano lake
11:00 Kocha Roberto Oliveira ‘Robertinho’ Aipeleka Simba Mafichoni
10:44 Tamwa: Rushwa ya ngono kikwazo wanahabari wanawake kushika nafasi za juu za uongozi
8:41 Moto Iraq: Maharusi Wote Wawili Wapoteza Maisha, Afisa wa afya Afunguka
8:32 Mbinu za Kumfanya Aamini Kama Kweli Unampenda kwa Vitendo
7:30 Baleke Anautaka Ufungaji Bora Ligi Kuu Bara msimu huu
7:07 #Exclusive: Aunty Ezekiel – “Wolper Ananipendana Sana – Siamini Mitandao Mpaka Nione Kwa Macho”- Video
5:52 Gamondi Aandaa Silaha mpya Yanga dhidi ya Al Merrikh Azam Complex, Dar
5:38 IRAQ: Moto Waua Watu 100 Kwenye Harusi, Bibi Harusi na Bwana Harusi Wadaiwa Kufariki – Video
5:19 Trump adaiwa kufanya udanganyifu wa kibiashara kwa miaka mingi
2:30 Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Jumanne, Septemba 27, 2023
1:20 Rais Samia: Tuna ‘Crisis’ Ya Umeme, Tunafanya Ukarabati Wa Mashine – Video
23:37 Rais Samia agundua Maharage ana biashara TTCL
23:34 Mkurugenzi Tanesco apewa miezi sita katikakati ya umeme
23:30 Tanzania, Marekani kushirikiana kuboresha mifumo ya usimamizi masuala ya afya
15:44 VIDEO: Infinix Zero 30 yatua TZ, Director Kenny anogewa
14:21 Simba Yatamba Kuwashangaza Power Dynamos Kutinga Hatua ya Makundi
12:00 Marekani imemkatalia waziri wa mambo ya nje wa Iran, kutembelea Washington
11:49 Staa wa TikTok akamatwa na Polisi kwa kudangaya Umma mlevamu
10:16 Tanzania nashika nafasi ya 9 kwenye mataifa yasiyokuwa na furaha duniani
9:52 Man United: Sancho Apigwa Marufuku Kutumia Mgahawa Wa Kikosi Cha Kwanza
9:40 Mjukuu wa Nelson Mandela, Zoleka Afariki Familia yake Yatangaza
9:13 Winga ashusha presha Simba Kurejea Uwanjani Baada ya Wiki Moja