Tanzania
This article was added by the user . TheWorldNews is not responsible for the content of the platform.

Anayedaiwa Kumuua Tupac Mwaka 1996 Akamatwa na Polisi

Mwanaume aliyetambuliwa kwa jina la Duane “Keefe D” Davis amekamatwa na Polisi, akihusishwa moja kwa moja na mauaji ya Rapa Tupac Shakur aliyepigwa risasi Mitaa ya Las Vegas, Marekani
Licha ya Mashtaka yake kutowekwa wazi, taarifa zinaeleza kuwa Mashauri yote kuhusu kesi hiyo iliyodumu kwa takriban miaka 27 yatajulikana leo Septemba 29, 2023
Tupac alizaliwa Jijini New York Mwaka 1971, alijipatia umaarufu mkubwa kupitia muziki wa Hip Hop kutoka upande wa West Coast akitamba na ‘hits’ kama Do 4 Love, Hit Em Up, Dear Mama na California Love

spoti pesa below post

Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.