Tanzania
This article was added by the user . TheWorldNews is not responsible for the content of the platform.

Sakata La Kupotea Kwa Warda – Mama Mkubwa Aangua Kilio Aomba Rais Samia Aingilie Kati – Video

Jeshi la Polisi Wilaya ya Kibaha Mkoa wa Pwani lilipokea taarifa ya kutoweka kwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Nyumbu, Warda Machamula (16) tangu Aprili 19, 2023.

Jeshi la polisi Mkoa wa Pwani lilianza kaye ya kutafuta chanzo cha kutoweka kwa motto huyo na ikagundulika kuwa mlezi aliyekuwa anaishi naye alimpiga ndiyo maana motto aliamua kutoroka (Jina limehifadhiwa).

Familia inaendelea kuomba kwa yeyote atakayemuona au mwenye taarifa za mahali alipo, awasiliane nao kwa namba za simu ambazo ni:

0656520998 au 0687003356.

Jeshi La Polisi Latoa Tamko, Sakata La Kupotea Kwa Mtoto Warda – Video

Kiza Kinene, Warda Bado Hajapatikana, Milioni 3 Atakayemuona Kutolewa -Video

Baba Mzazi Wa Warda Aliyepotea Akiwa Kwa Mkuu Wa Shule Aangua Kilio Studio – Video

spoti pesa below post

Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.