Tanzania
This article was added by the user . TheWorldNews is not responsible for the content of the platform.

Breaking: Moto Mkubwa Unateketeza Majengo Na Maduka Kariakoo, Dar – Video

Moto huo umetokea asubuhi ya Oktoba Mosi, 2023 eneo la Kariakoo Dar es Salaam ambapo umeripotiwa kuwaka kwenye zaidi ya Majengo 5 yenye Maduka likiwemo la Jengo la Big Bon ambalo ndani yake kuna ofisi za Bank of Africa (BoA)

Imeelezwa Moto ulianzia eneo la Mnadani na kusambaa kwenye majengo mengine likiwemo jengo la Ghorofa 9 ambapo pia umeteketeza ghala la Pikipiki na baadhi ya Nyumba za Makazi ya Watu

Jeshi la Zima Moto linaendelea na zoezi la uzimaji pamoja na kufanya uokoaji, hadi sasa bado haijafahamika athari za Kibinadamu na hasara iliyotokana na Moto huo. Endelea kufuatilia kurasa zetu, taarifa zaidi zitakujia muda mfupi ujao.

spoti pesa below post

Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.