MSANII wa Bongo Fleva, Salmin Hoza almaarufu Kusah amefunguka kuwa hakulifuatilia ishu ambayo iliyoibuka kwenye mitandao ya kijamii, kuwa ana mahusiano ya kimapenzi na msanii wa Bongo Muvi, Jacquline Wolper kwasababu ni uzushi ambao haufanani na ukweli hata kidogo.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.